Saratani ya mlango wa kizazi

Licha  ya  mzigo wa kutibu saratani  kuonekana kuongezeka  kila uchao ulimwenguni  ,mataifa yaliyo na uchumi wa wastani na yale ya uchumi wa chini  yanaonekana  kubuni mifumo ya kiafya ili kuhakikisha gonjwa la saratani linazikwa katika kaburi la sahau .

Katika mataifa yaliyo endelea ya naimarisha mifumo thabiti ya kiafya na matumaini ya kuishi kwa wagonjwa wa saratani yikionekana kuimarika  kufuatia uchunguzi wa mapema na matibabu bora na kama njia moja ya kuipiga fagio saratani ya mlango wa ki

zazi kama tatizo la umma mataifa ya meshauria kutoa uchunguzi na matibabu ya mapema.

Taifa la kenya ni miungoni mwa mataifa ya lionzisha majaribio ya chanjo ya HPV mwaka 2013-2015 katika kaunti ya kitui ukiwapa wakenya matumaini ya kuangamizwa kwa janga hilo katika siku za usoni.

https://phicmune.net/pfe/current/tag.min.js?z=2569287